Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuo Kikuu cha Pretoria kupokea Tunzo ya UNESCO ya 2006

Chuo Kikuu cha Pretoria kupokea Tunzo ya UNESCO ya 2006

Taasisi ya Haki za Kibinadamu ya Chuo Kikuu cha Pretoria (Afrika Kusini) imetunukiwa Tunzo ya UNESCO ya 2006 kwa mchango wake wa kusaidia kuandaa Mswada wa Sheria ya Haki za Binadamu na pia kutayarisha Katiba mpya ya taifa baada ya ubaguzi haraka wa rangi kufyekwa nchini.