25 Mei 2007
Tume ya Kudumu ya UM kuhusu Haki za Wenyeji wa Asili ilikhitimisha mijadala yake ya mwaka mnamo tarehe 25 Mei (2007). Vikao ambavyo vilichukua wiki mbili vilijumuisha wawakilishi wa kutoka kanda mbalimbali za kimataifa, wakiwemo wajumbe wa kiserekali na mashirika yasio ya kiserekali, halkadhalika.
Kwa mazungumzo kamili sikiliza idhaa ya mtandao.