Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Fafanuzi juu ya Mkataba mpya wa Kuhifadhi Haki na Utu wa Watu Walemavu Duniani

Fafanuzi juu ya Mkataba mpya wa Kuhifadhi Haki na Utu wa Watu Walemavu Duniani

Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Watu Walemavu Zanzibar (UWZ), Maalim Khalfan Hemed Khalfan, anayewakilisha pia shirika lisio la kiserekali la kimataifa linaloitwa Disabled Persons International (DPI) alikuwa miongoni mwa wajumbe kadha wa kimataifa, waliohudhuria katika wiki iliopita taadhima zilizofanyika kwenye ukumbi wa Baraza la Kuu la UM, New York, ambapo wawakilishi wa nchi wanachama 80 ziada walikusanyika kutia sahihi Mkataba mpya wa Kuhifadhi Haki na Utu wa Watu Walemavu Duniani. Idadi hiyo ilikiuka rikodi ya kihistoria kuhusu jumla ya ya nchi zilizotia sahihi mkataba mpya wa kimataifa, kwa mara ya kwanza.~~

Kwa mahojiano kamili sikiliza idhaa ya mtandao.