MONUC ilimsaidia kiongozi wa upinzani DRC kupata kibali cha kwenda Ulaya kwa matibabu
Ripoti za UM zimethibitisha kuwa Shirika linalohusika na Operesheni za Ulinzi wa Amani katika JKK (MONUC) lilishiriki kwenye mazungumzo na wenye madaraka nchini DRC ya kumpatia Seneta Jean-Pierre Bemba ruhusa ya kufanya safari ya kwenda Ulaya kwa matibabu.