UM unakumbuka mauaji ya Rwanda
Tarehe 09 Aprili, iliadhimishwa na UM kuwa ni siku ya kuukumbuka umma wa Rwanda ulioteswa na kuuliwa kikatili miaka 13 iliopita. Kwa mujibu wa ripoti za kimataifa, makundi ya majambazi na maharamia, waliokuwa wamechukua mapanga na mabunduki, waliamua kumaliza mauaji yao ya kikatili yalioangamiza watu 800,000 ziada kutoka sehemu zote za Rwanda.
Kwa ripoti kamili sikiliza idhaa ya mtandao.