Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR itapanua operesheni zake Darfur Magharibi

UNHCR itapanua operesheni zake Darfur Magharibi

Antonio Guterres, Kamishna Mkuu wa UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) baada ya kumaliza ziara muhimu katika kambi za wahamiaji wa ndani ya nchi (IDPs), katika Sudan wiki hii, aliripoti kuwa amefikia maafikiano, na Serekali ya Sudan, yanayoruhusu kupanuliwa shughuli za UNHCR katika eneo la Darfur Magharibi.