Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Sudan kupatiwa msaada wa ngano wa dola miloni mbili kutoka Urusi: imeripoti WFP

Sudan kupatiwa msaada wa ngano wa dola miloni mbili kutoka Urusi: imeripoti WFP

Shirika la UM juu ya Miradi ya Chakula Duniani (WFP), limepokea kutoka Urusi, msaada wa ngano, wa dola milioni 2, uliokusudiwa kufufua tena zile operesheni za kuwapatia chakula watoto wa skuli muhitaji karibu 300,000 waliopo kwenye majimbo matatu ya Sudan yaliokabiliwa na upungufu mkubwa wa chakula.