Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Balozi wa Kenya azingatia mkataba mpya dhidi ya silaha ndogo ndogo

Balozi wa Kenya azingatia mkataba mpya dhidi ya silaha ndogo ndogo

Mwakilishi wa Kudumu wa Kenya katika UM, Balozi Zachary Muburi-Muita alifanya mahojiano na Redio ya UM ambapo alizungumzia, na kuzingatia yale mapendekezo ya baadhi ya wanadiplomasiya wa kimataifa - akiwemo pia Kamishna Mkuu Mstaafu wa Haki za Binadamu, Mary Robinson - ya kuanzisha kampeni ya kubuni chombo kipya cha sheria ya kimataifa ili kudhibiti bora biashara ya silaha ndogo ndogo ulimwenguni.

Sikiliza mukhtasari wa mahojiano kwenye idhaa ya mtandao.