Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baraza la Usalama linasailia suala la Maziwa Makuu

Baraza la Usalama linasailia suala la Maziwa Makuu

Mjumbe Maalumu wa KM kwa Masuala ya Maziwa Makuu, Ibrahima Fall aliripoti mbele ya Baraza la Usalama mwisho wa wiki kuhusu maendeleo ya kurudisha utulivu na amani kwenye eneo hili muhimu la Afrika.