9 Machi 2007
Mjumbe Maalumu wa KM kwa Masuala ya Maziwa Makuu, Ibrahima Fall aliripoti mbele ya Baraza la Usalama mwisho wa wiki kuhusu maendeleo ya kurudisha utulivu na amani kwenye eneo hili muhimu la Afrika.
Mjumbe Maalumu wa KM kwa Masuala ya Maziwa Makuu, Ibrahima Fall aliripoti mbele ya Baraza la Usalama mwisho wa wiki kuhusu maendeleo ya kurudisha utulivu na amani kwenye eneo hili muhimu la Afrika.