Mjumbe wa UM kwa Darfur asisitiza mapigano lazima yakomeshwe halan kabla amani kuwasili
Balozi Jan Eliasson wa Usweden Mjumbe Maalumu wa KM kwa Darfur, ambaye mwezi uliopita alizuru Sudan pamoja na Mpatanishi wa Umoja wa Nchi Huru za Afrika, AU, Salim Ahmed Salim kutafuta suluhu ya kuridhisha mapema wiki hii aliripoti juu ya ziara yao kwenye kikao cha faragha cha Baraza la Usalama.