Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mashirika ya UM yahitajia dola milioni 18 kusaidia waathiriwa wa kimbunga na mafuriko Msumbiji

Mashirika ya UM yahitajia dola milioni 18 kusaidia waathiriwa wa kimbunga na mafuriko Msumbiji

UM pamoja na mashirika wenzi yanayohudumia misaada ya kiutu, yameanzisha kampeni ya dharura kuchangisha karibu dola milioni 18 ili kuisaidia Msumbiji kukabiliana na mahitaji ya kihali, hususan kwa umma muathiriwa na mafuriko pamoja na uharibifu wa vimbunga, maafa ambayo yalisababisha uharibifu mkubwa nchini humo hivi karibuni.