Hapa na pale
Baraza la Haki za Binadamu limefanyisha mjadala maalumu wiki hii mjini Geneva kuzingatia suala la kukomesha vitendo vya kutumia nguvu dhidi ya watoto, janga karaha ambalo linakiuka maadili ya kiutu.~
Na hatimaye KM Ban Ki-moon amesema anaunga mkono kuanzishwa kwa serekali ya muungano ya Falastina, kitendo ambacho alipiongeza kuwa ni hatua muhimu katika kusukuma mbele ujenzi wa amani Mashariki ya Kati; lakini vile vile alidhihirisha masikitko Serekali ya Muungano ya Falastina bado haikufanikiwa kuyatekeleza matakwa ya kundi la wapatanishi wanne kuhusu suluhu ya Mashariki ya Kati.