Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mshauri Mkuu wa UM juu ya Misaada ya Dharura anazuru Sudan

Mshauri Mkuu wa UM juu ya Misaada ya Dharura anazuru Sudan

Mshauri Mkuu [mpya] wa UM juu ya Misaada ya Dharura, John Holmes ambaye anazuru Sudan hivi sasa, alifanya mazungumzo na viongozi wa serekali kuhusu masuala ya kuhudumia kihali waathiriwa wa vurugu la Darfur.