Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uhaba wa msaada kuhatarisha huduma za kihali kwa raia 53,000 Djibouti

Uhaba wa msaada kuhatarisha huduma za kihali kwa raia 53,000 Djibouti

Shirika la UM juu ya Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limeripoti kuwa litalazimika kusitisha karibuni ugawaji wa chakula kwa watu muhitaji 53,000 nchini Djibouti, wanaotegemea misaada ya kimatifa, kwa sababu ya upungufu mkubwa uliopo wa misaada ya fedha zinazohitajika kununulia chakula.