Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Juhudi za kimataifa za kuboresha maisha kwa wakazi wa mitaa ya mabanda Afrika Mashariki (Sehemu ya Pili)

Juhudi za kimataifa za kuboresha maisha kwa wakazi wa mitaa ya mabanda Afrika Mashariki (Sehemu ya Pili)

Mwandishi habari wa Redio ya UM, Michele Montas hivi majuzi alizuru mtaa wa mabanda wa Mathare katika vitongoji vya Nairobi, mji mkuu wa Kenya.

Kwa maelezo kamili sikiliza idhaa ya mtandao.