16 Februari 2007
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti kuongeza kasi kwenye operesheni zake za kuwarudisha makwao wahamiaji wa ndani ya nchi (IDPS) wa eneo la Blue Nile, Sudan ya kusini.
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti kuongeza kasi kwenye operesheni zake za kuwarudisha makwao wahamiaji wa ndani ya nchi (IDPS) wa eneo la Blue Nile, Sudan ya kusini.