Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR kuharakisha operesheni za kurudisha wahamiaji Sudan ya kusini

UNHCR kuharakisha operesheni za kurudisha wahamiaji Sudan ya kusini

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti kuongeza kasi kwenye operesheni zake za kuwarudisha makwao wahamiaji wa ndani ya nchi (IDPS) wa eneo la Blue Nile, Sudan ya kusini.