Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Suala la haki za kibinadamu katika Darfur Kusini

Suala la haki za kibinadamu katika Darfur Kusini

Tume ya wataalamu watano ya Baraza la UM juu ya Haki za Binadamu ilioatarajiwa kwenda jimbo la Sudan magharibi la Darfur kuchunguza namna haki za kibinadamu zinavyotekelezwa na wenye madaraka, haikufanikiwa kuzuru eneo hilo wiki hii kwa sababu ya kutopatiwa viza na Serekali ya Sudan.

Sikiliza idhaa ya mtandao kwa mahojiano kamili.