Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Msaada wa dharura unahitajika haraka CAR kunusuru maisha, yaonya UNICEF

Msaada wa dharura unahitajika haraka CAR kunusuru maisha, yaonya UNICEF

Mia Farrow, msanii maarufu wa michezo ya kuigiza, ambaye pia ni Balozi Mfadhili wa Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) karibuni alizuru kwa siku nne sehemu za kaskazini za Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR).