Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

ICC kufichua orodha ya majina ya watuhumiwa dhidi ya makosa ya jinai katika Darfur.

ICC kufichua orodha ya majina ya watuhumiwa dhidi ya makosa ya jinai katika Darfur.

Mahakama ya UM juu ya Jinai ya Halaiki (Mahakama ya ICC) imetengaza kuwa itawasilisha mbele ya Mahakama Ndogo, mnamo Februari 27 (2006)orodha ya awali ya majina ya watuhumiwa walioshukiwa kushiriki kwenye vitendo vya uhalifu wa vita na jinai dhidi ya utu katika jimbo la Sudan magharibi la Darfur.