Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Juhudi za kuwasawazishia wanawake haki za kisheria nchini Tanzania

Juhudi za kuwasawazishia wanawake haki za kisheria nchini Tanzania

Mnamo 1996, Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Wanawake (UNIFEM) lilidhaminiwa na Baraza Kuu la UM madaraka muhimu ya kusimamia matumizi ya Mfuko wa Amana ulioanzishwa wakati huo Kukomesha Unyanyasaji na Utumiaji Nguvu dhidi ya Wanawake.

Kwa taarifa kamili sikiliza idhaa ya mtandao.