Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM utaendelea kuisaidia Burundi kujenga amani, aahidi KM Ban

UM utaendelea kuisaidia Burundi kujenga amani, aahidi KM Ban

Wanajeshi wa UM juu ya ulinzi wa amani nchini Burundi walifunga shughuli zao mnamo tarehe 31 Disemba 2006.