Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR inaiomba Kenya kutowarejesha Usomali wahamiaji wanaotafuta hifadhi

UNHCR inaiomba Kenya kutowarejesha Usomali wahamiaji wanaotafuta hifadhi

Antonio Guterres, Kamishna Mkuu wa Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) ameripoti wasiwasi wake juu ya usalama wa wahamiaji wa Usomali wanaokimbilia Kenya.