Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mapigano ya kikabila yazuka Chad ya kusini

Mapigano ya kikabila yazuka Chad ya kusini

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti kufumka kwa mapigano ya kikabila hivi majuzi katika eneo la Chad ya kusini karibu na jimbo la magharibi la Sudan la Darfur, hali ambayo inasemekena ilisababisha raia 20,000 wa Chad kung\'olewa makazi mnamo wiki tatu zilizopita.