Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Waathiriwa wa ukame 500,000 Uganda kuhudumiwa chakula na WFP

Waathiriwa wa ukame 500,000 Uganda kuhudumiwa chakula na WFP

Shirika la UM juu ya Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limeanzisha operesheni za kuwahudumia chakula watu 500,000 muhitaji wa eneo la Karamoja, katika Uganda ya kaskazini-mashariki.