26 Januari 2007
Ripoti ya KM juu ya hali mipakani kati ya Ethiopia na Eritrea imependekeza Baraza la Usalama liongeze kwa miezi sita ziada operesheni za ulinzi wa amani za UM katika eneo hilo.
Ripoti ya KM juu ya hali mipakani kati ya Ethiopia na Eritrea imependekeza Baraza la Usalama liongeze kwa miezi sita ziada operesheni za ulinzi wa amani za UM katika eneo hilo.