26 Januari 2007
Mjumbe Maalumu wa UM juu ya Hifadhi ya Watoto kwenye Mazingira ya Uhasama na Vita, Radhika Coomaraswamy anatazamiwa kuzuru Sudan mwisho wa wiki kwa kuitikia mwaliko wa Serekali ya Sudan.
Mjumbe Maalumu wa UM juu ya Hifadhi ya Watoto kwenye Mazingira ya Uhasama na Vita, Radhika Coomaraswamy anatazamiwa kuzuru Sudan mwisho wa wiki kwa kuitikia mwaliko wa Serekali ya Sudan.