26 Januari 2007
KM Ban Ki-moon alianza ziara rasmi Ijumanne kuyatembelea mataifa saba ya Ulaya na Afrika. Hii ni ziara kuu ya kwanza ya KM tangu alipochukua madaraka ya kuuongoza UM Janauari mosi.
KM Ban Ki-moon alianza ziara rasmi Ijumanne kuyatembelea mataifa saba ya Ulaya na Afrika. Hii ni ziara kuu ya kwanza ya KM tangu alipochukua madaraka ya kuuongoza UM Janauari mosi.