Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vurugu la Darfur huenda likaathiri mataifa jirani aashiria KM

Vurugu la Darfur huenda likaathiri mataifa jirani aashiria KM

KM wa UM ameelezea kuchukizwa sana kwa kufumka tena, hivi karibuni, katika jimbo la magharibi la Sudan la Darfur, vurugu na wasiwasi. Hali hiyo ilisababisha idadi kubwa ya raia wa Darfur kuhajiri maskani yao ili kunusurisha maisha.