Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Juhudi za Baraza Kuu kudhibiti biashara haramu ya almasi.

Juhudi za Baraza Kuu kudhibiti biashara haramu ya almasi.

Mnamo mwanzo wa wiki Baraza Kuu la UM lilipitisha azimio la kuunga mkono Mpango wa Kimberley na kupendekeza utaratibu huo uendelea kuimarishwa kimataifa. Kabla ya azimio kupitishwa Mataifa Wanachama 192 wa UM walisikia ripoti ya mapitio kutoka Raisi Festus Gontebanye Mogae wa Botswana, Mwenyekiti wa mwaka huu wa nchi zilizoridhia na kuidhinisha Mpango wa Kimberley.

Sikiliza mahojiano kwenye idhaa ya mtandao.