Baraza Kuu la UM limepitisha Mkataba wa Haki za Watu Walemavu
Mswada wa Mkataba wa Kulinda Haki na Hadhi za Watu Walemavu ulipitishwa, kwa kauli moja, na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Kitendo hiki kilikuwa cha historia kuu.
Sikiliza ripoti kamili kwenye idhaa ya mtandao.