Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ban Ki-moon ameapishwa kuwa Katibu Mkuu mpya, na Baraza Kuu kumpongeza Kofi Annan

Ban Ki-moon ameapishwa kuwa Katibu Mkuu mpya, na Baraza Kuu kumpongeza Kofi Annan

Alkhamisi tarehe 14 Disemba 2006 Ban Ki-moon kutoka Jamhuri ya Korea, aliapishwa kuwa Katibu Mkuu wa 8 wa UM mbele ya wanadiplomasiya wanaowakilisha Mataifa Wanachama 192 pamoja na wafanyakazi wa Makao Makuu ya UM, katika ukumbi wa Baraza Kuu. Ban aliapishwa na Raisi wa kikao cha 61 cha Baraza Kuu la UM, Sheikha Haya Rashed Al Khalifa wa Bahrain.

Sikiliza taarifa kamili kwenye mtandao.