Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Burundi itahitajia msaada wa kimataifa kujenga amani, yasema UM

Burundi itahitajia msaada wa kimataifa kujenga amani, yasema UM

Mjumbe Maalumu wa KM kwa Burundi, Nureldin Satti aliwaambia waandishi habari wa kimataifa katika Makao Makuu ya kwamba licha ya kuwa Shirika la Ulinzi wa Amani la UM katika Burundi (ONUB) litamaliza operesheni zake mwisho wa mwezi Disemba hatua hiyo haimaanishi mchango wa kimataifa hauhitajiki tena.