Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Muhtasari wa matukio katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

Muhtasari wa matukio katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

Kikao cha 61 cha Baraza Kuu la UM kinajongelea kukamilisha mijadala yake ambapo ripoti za mijadala ya zile zile kamati zake sita kuhusu masuala ya usalama, maendeleo ya uchumi na jamii, sheria ya kimataifa na bajeti la UM, ziliwakilishwa mbele ya Baraza Kuu kupigiwa kura na wajumbe wa kimataifa.

Sikiliza ripoti kwenye mtandao.