Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkutano wa kuaga, Katibu Mkuu na waandishi habari wa kimataifa

Mkutano wa kuaga, Katibu Mkuu na waandishi habari wa kimataifa

Ijumanne KM Kofi Annan alikuwa na mahojiano ya mwisho, ya kuaga, na waandishi habari wa kimataifa wanaofanya kazi kwenye Makao Makuu ya UM mjini New York. Mwanadiplomasiya wa nambari ya kwanza Annan alikiri kwenye risala yake kwamba kutofanikiwa kuzuia vita na uvamizi wa Iraq lilikuwa ni tukio moja liliomhuzunisha sana kabisa katika miaka 10 aliyoitumikia taasisi hii ya kimataifa.

Sikiliza taarifa zaidi kwenye idhaa ya mtandao.