Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF yaanzisha mchezo wa kompyuta kusaidia vijana wa Afrika Mashariki kupiga vita UKIMWI.

UNICEF yaanzisha mchezo wa kompyuta kusaidia vijana wa Afrika Mashariki kupiga vita UKIMWI.

Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) wiki hii limewakilisha rasmi mchezo mpya wa kompyuta, kwa lugha ya Kiswahili, unaopatikana kwenye mtandao, uliokusudiwa kutumiwa na vijana ili kuwasaidia kwenye zile juhudi za kujifunza mfumo unaoridhisha wa maisha ili, hatimaye, wafanikiwe kujikinga na hatari ya maambukizo ya virusi maututi vya UKIMWI. ~~

Sikiliza taarifa kamili.