Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mshauri Mstaafu wa Misaada ya Dharura kuzuru Afrika kwa mara ya mwisho

Mshauri Mstaafu wa Misaada ya Dharura kuzuru Afrika kwa mara ya mwisho

Makamu KM juu ya Masuala ya Kiutu na Misaada ya Dharura, Jan Egeland wiki hii ameanza ziara ya mwisho ya siku 10 katika bara la Afrika kabla ya kustaafu mwisho wa mwaka.