Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Shirikisho la Urusi kusaidia Kenya kukabilina na ukame

Shirikisho la Urusi kusaidia Kenya kukabilina na ukame

Shirika la UM juu ya Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limefadhiliwa msaada wa dharura wa dola milioni 2 kutoka Shirikisho la Urusi utakaotumiwa kwenye operesheni za kuwapatia chakula watu milioni 3 nchini Kenya, walioathirika na tatizo la ukame.