Shirikisho la Urusi kusaidia Kenya kukabilina na ukame
Shirika la UM juu ya Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limefadhiliwa msaada wa dharura wa dola milioni 2 kutoka Shirikisho la Urusi utakaotumiwa kwenye operesheni za kuwapatia chakula watu milioni 3 nchini Kenya, walioathirika na tatizo la ukame.