Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mukhtasari wa Mkutano Mkuu kusailia uharibifu wa hewa duniani

Mukhtasari wa Mkutano Mkuu kusailia uharibifu wa hewa duniani

Mkutano wa 12 kwa Mataifa 189 Yalioridhia Mkataba wa Hifadhi Dhidi ya Uharibifu wa Mabadiliko ya Hali ya Hewa pamoja na kuidhinisha Mkataba wa Kyoto ulianzishwa rasmi mwanzo wa juma mjini Nairobi, Kenya ambapo kulizingatiwa hatua za kudhibiti kipamoja athari za mabadiliko yaliyoletwa na uchafuzi wa hewa duniani.

Sikiliza taarifa kamili mtandaoni.