Skip to main content

Umoja wa Mataifa waonya kuzuka hali ya hatari kieneo pindi Usomali itageuzwa kuwa jukwaa la vita vya wakala na mataifa jirani

Umoja wa Mataifa waonya kuzuka hali ya hatari kieneo pindi Usomali itageuzwa kuwa jukwaa la vita vya wakala na mataifa jirani

Wiki hii Mwakilishi Maalumu wa KM juu ya Usomali, Francois Lonseny Fall alizuru Makao Makuu ya UM kushauriana na KM pamoja na Baraza la Usalama kuhusu hali iliyojiri Usomali karibuni.

Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.