Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wagombea uraisi DRC wanasihiwa na KM kujiepusha na lugha ya uchochezi baada ya matokeo kutangazwa

Wagombea uraisi DRC wanasihiwa na KM kujiepusha na lugha ya uchochezi baada ya matokeo kutangazwa

Katibu Mkuu (KM) amewasihi Raisi Joseph Kabila, Makamu Raisi Jean-Pierre Bemba na wafuasi wao kuridhia, kwa pamoja, na bila ya fujo matokeo ya duru ya pili ya uchaguzi wa uraisi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo)