Wagombea uraisi DRC wanasihiwa na KM kujiepusha na lugha ya uchochezi baada ya matokeo kutangazwa
Katibu Mkuu (KM) amewasihi Raisi Joseph Kabila, Makamu Raisi Jean-Pierre Bemba na wafuasi wao kuridhia, kwa pamoja, na bila ya fujo matokeo ya duru ya pili ya uchaguzi wa uraisi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo)