Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mapigano ya kikabila nchini Chad yasababisha vifo 200

Mapigano ya kikabila nchini Chad yasababisha vifo 200

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti kuwa na wasiwasi mkubwa kuhusu kufumka kwa mapigano ya kikabila hivi majuzi katika mashariki-kusini ya Chad.