Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kenya kuchachamaa kutunza mazingira dhidi ya uharibifu wa hali ya hewa

Kenya kuchachamaa kutunza mazingira dhidi ya uharibifu wa hali ya hewa

KM wa UM Kofi Annan alipohutubia kikao cha wawakilishi wa Hadhi ya Juu kwenye Mkutano Mkuu juu ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa alisisitiza ya kuwa ni lengo la jamii ya kimataifa kuhakikisha kuwepo maelewano mazuri miongoni ya watu, na vile vile kuhakikisha kuna mlingano wa kimaumbile kati ya wanadamu na mazingira asilia, mazingira ambayo uhai wetu huyategemea kumudu maisha.

Sikiliza mtandao kwa ripoti kamili.