Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wavusha magendo walisafirisha halaiki ya Wasomali kwenye Ghuba ya Aden

Wavusha magendo walisafirisha halaiki ya Wasomali kwenye Ghuba ya Aden

Shirika la UM juu ya Wahamiaji (UNHCR) limeripoti kwamba katika mwaka huu pekee Wasomali 22,000 walihatarisha maisha walipojaribu kuvuka Ghuba ya Aden, kutokea Usomali na kuelekea Yemen, kwa kutumia mashua zilizoregarega na zisiokuwa imara.