24 Novemba 2006
Mjumbe Maalumu wa KM kwa Usomali, Francois Lonseny Fall amenukuliwa akisema wawakilishi wa wa Serekali ya Mpito ya Usomali waliaahidi kuwa wapo tayari kushiriki tena kwenye yale mazungumzo ya kurudisha amani katika taifa lao kati yao na viongozi wa Kundi la Mahakama za Kiislamu.