Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkuu wa OCHA asema LRA inasisitiza kuwepo kuaminiana kufanikiwa kuwasilisha amani Uganda ya kaskazini

Mkuu wa OCHA asema LRA inasisitiza kuwepo kuaminiana kufanikiwa kuwasilisha amani Uganda ya kaskazini

Jan Egeland, Makamu Katibu Mkuu juu ya Misaada ya Dharura aliwaarifu wajumbe wa Baraza la Usalama wiki hii kuhusu mazungumzo aliyokuwa nayo karibuni na kiongozi wa waasi wa LRA, Joseph Kony pamoja na maofisa wa Serekali ya Uganda wakati alipozuru bara la Afrika.