Huduma za UM kusaidia mamia elfu ya waathiriwa wa mafuriko Kenya
Mashirika ya UM yanayohusika na miradi ya chakula duniani (WFP), wahamiaji (UNHCR), na pia mfuko wa maendeleo ya watoto (UNICEF) yalijumuika nchini Kenya wiki hii kuongoza operesheni za kugawa misaada ya kiutu kwa mamia elfu ya wahamiaji wa Usomali walioajikuta kunaswa na mafuriko yaliozuka kwenye zile kambi walizokuwa wakiishi kaskazini-mashariki ya Kenya.
Sikiliza mahojiano kamili kwenye idhaa ya mtandao.