Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Juhudi za kupunguza umasikini katika nchi zenye uchumi mdogo (Sehemu ya Pili)

Juhudi za kupunguza umasikini katika nchi zenye uchumi mdogo (Sehemu ya Pili)

Hivi karibuni wajumbe wa kimataifa walikusanyika kwenye Makao Makuu ya UM, mjini New York, kuhudhuria Mkutano Mkuu maalumu wa Baraza Kuu, uliofanya mapitio juu ya utekelezaji wa ule Mpango wa Utendaji wa Brussels wa 2001. Mkutano huo wa Daraja ya Juu ulisailia juhudi za kuimarisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika yale mataifa 50 yenye uchumi wa kima cha chini kabisa, mataifa ambayo hujulikana kama LDCs.~~

Sikiliza idhaa ya mtandao kwa mahojiano kamili.