Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WHO yahimiza huduma za usafi wa hewa katika miji

WHO yahimiza huduma za usafi wa hewa katika miji

Shirika la Afya Duniani (WHO) limependekeza serekali zote za kimataifa kuongeza huduma zao katika kuboresha usafi wa hewa katika miji yao. WHO ilisema pindi hatua hii itachukuliwa na miji husika itasaidia kuhifadhi afya na maisha ya watu milioni 2 ambao hufariki kila mwaka duniani kutokana na uharibifu wa hewa.~~